ZIARA YA DIWANI ISSA WA KATA YA KORONGONI KWA MAFUNDI GEREJI KATIKA PICHA 
Diwani
wa kata ya Korongoni Manispaa ya Moshi ,Issa Juma Bulilo ametoa msaada wa
vitendeakazi kwa mafundi wa magari katika maeneo mbali mbali ndani ya kata yake
ikiwa ni mkakati wa kuwawezesha kufanya kazi katika mazingira rafiki.
Diwani Bulilo alitembelea mafundi wa kuchomelea waliopo eneo la Sido,mafundi Gereji kwa Mgosi mtaa wa Viwanda pamoja na mafundi gereji eneo la Banana mtaa wa vijana
Akizungumza kwa nyakati tofauti na mafundi hao,diwani Issa pamoja na kuwashukuru kwa kushiriki vyema uchaguzi mkuu uliofanyika October 29 mwaka jana,aliahidi kuendelea kutatua changamoto wanazokabiliana nazo iikiwamo kuwa na maeneo rasmi ya kufanyia kazi zao.
Diwani Issa aliwataka mafundi hao kumpa ushirikiano akiamini kuwa msingi wa maendeleo utatokana na wao kushirikiana .
.jpg)



.jpg)




0 Comments